Ni mama wa mtoto mmoja na Mume mmoja. nimeokoka nampenda Yesu. Blog hii itakuwa inaonyesha mambo mbalimbali yanayoendelea katika makanisa yetu na jamii yetu kwa ujumla. Hasa tutakuwa tunaonyesha vitu kama mikutano, semina, matamasha mbalimbali yatakayokuwa yanajiri, na habari mbalimbali kuhusu wasanii wetu wa injili
Ni mwanamuziki mahiri wa Injili kutoka nchini zambia lakini anayefanya vizuri nchini kwetu. Anatamba zaidi na nyimbo kama Uniongoze n.k
ReplyDelete